Kiungo lkay Gundogan akiifungia bao la kuongoza Manchester City dakika ya 56 katika sare ya 1-1 na Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad usiku wa jana. Bao la Shakhtar Donetsk lilifungwa na Manor Solomon dakika ya 69, lakini Man City imefanikiwa kutinga hatua ya mtoano baada ya kufikisha ponti 11 katika mchezo wa tano, ikiwazidi pointi tano Shakhtar Donetsk wanaofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment