KIUNGO Mjapan, Daich Kamada (katikati) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Eintracht Frankfurt mabao mawili dakika za 55 na 64 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London, bao la wenyeji likifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hailey Van Lith Denies TCU Transfer Rumor, Says She's 'Very Close' to
Portal Decision
-
Hailey Van Lith might not be bound for TCU after all. The former LSU guard
told Doug Feinberg of The Associated Press she is "very close" to a
decision but…
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment