• HABARI MPYA

    Saturday, November 30, 2019

    DELE ALLI APIGA MBILI TOTTENHAM YAILAZA 3-2 BOURNEMOUTH

    Dele Alli akipongezwa na Heung-Min Son baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 21 na 50 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Bao lingine la Spurs iliyo chini ya kocha Mreno, Jose Mournho limefungwa na Moussa Sissoko dakika ya 69, wakati ya Bournemouth yamefungwa na Harry Wilson dakika ya 73 na 90 na ushei baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Ryan Fraser dakika ya 63 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DELE ALLI APIGA MBILI TOTTENHAM YAILAZA 3-2 BOURNEMOUTH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top