Kocha mpya, Mreno Jose Mourinho (kushoto) na Msaidizi wake, Joao Sacramento akifuatilia mchezo wake wa kwanza Tottenham Hotspur baada ya kuchukua nafasi ya Mauricio Pochettino Spurs ikishinda 3-1 ugenini Uwanja wa London katika Ligi Kuu ya England. Mabao ya Spurs yalifungwa na Son Heung-min dakika ya 36, Lucas Moura dakika ya 43 na Harry Kane dakika ya 49 wakati ya West Ham yamefungwa na Michael Antonio dakika ya 73 na Angelo Ogbonna dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Scale of Ryan Reynolds and Rob McElhenney's funding into Wrexham
laid bare by the club's astronomical wage bill... after the Hollywood
owners admitted they were 'f****d without National League promotion
-
Wrexham paid out £6.9million in wages during their promotional season from
the National League as the level of funding from the club's Hollywood
owners was...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment