Kocha mpya, Mreno Jose Mourinho (kushoto) na Msaidizi wake, Joao Sacramento akifuatilia mchezo wake wa kwanza Tottenham Hotspur baada ya kuchukua nafasi ya Mauricio Pochettino Spurs ikishinda 3-1 ugenini Uwanja wa London katika Ligi Kuu ya England. Mabao ya Spurs yalifungwa na Son Heung-min dakika ya 36, Lucas Moura dakika ya 43 na Harry Kane dakika ya 49 wakati ya West Ham yamefungwa na Michael Antonio dakika ya 73 na Angelo Ogbonna dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2019 MLB Free Agents: Rumors, Predictions for Anthony Rendon, Madison Bumgarner
-
The MLB free-agent market is already moving at a far more rapid pace than
it did last year, when stars like Bryce Harper and Manny Machado remained
unsigne...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment