Wachezaji wa Astana wakishangilia ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester United usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League Uwanja wa Astana Arena, mabao yao yakifungwa na Dmitri Shomko dakika ya 55 na Di'Shon Bernard aliyejifunga dakika ya 62 baada ya wageni kutangulia kwa bao la Jesse Lingard dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu is left stunned by his giant opponent's 's**t' act just before
their world title fight: 'Professionals don't do that'
-
The Aussie will be giving away an amazing 23cm in height to his 197cm
rival, not to mention a huge reach advantage. But a detail in the
American's preparat...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment