Dejan Lovren akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 65 ikitoa sare ya 1-1 na Napoli iliyotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 21 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa matokeo hayo, Liverpool inaendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi zake 10, ikifuatiwa na Napoli pointi tisa, Salzburg saba na Genk yenye pointi moja inashika mkia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hakim Ziyech 'to leave Chelsea permanently as Galatasaray want to sign
Moroccan winger after a productive loan spell'
-
Hakim Ziyech looks set to remain with Galatasaray permanently, after a
successful loan spell at the Turkish club from Chelsea.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment