• HABARI MPYA

    Tuesday, November 12, 2019

    KELVIN JOHN AJIUNGA NA AKADEMI YA LEICESTER CITY WAKATI AKIENDELEA NA MASOMO ENGLAND

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Kelvin John akiwa na chipukizi mwenzake wa akademi ya Leicester City katika kambi yao, Holmes Park, Belvoir Drive Training Complex jana. Kelvin amejiunga na academy ya Leicester City kufuatia kwenda England kwa masomo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KELVIN JOHN AJIUNGA NA AKADEMI YA LEICESTER CITY WAKATI AKIENDELEA NA MASOMO ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top