• HABARI MPYA

    Thursday, November 28, 2019

    CHELSEA YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA VALENCIA MESTALLA

    Wachezaji wa Chelsea wakimpongeza mwenzao Christian Pulisic baada ya kufunga bao la pili dakika ya 50 kufuatia Mateo Kovacic kufunga kufunga la kwanza dakika ya 41 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Valencia kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Carlos Soler dakika ya 40 na Daniel Wass dakika ya 82 na matokeo hayo yanazifanya timu hizo zifungane kwa pointi, nane kila moja baada ya kucheza mechi tano zikiwa nyuma ya Ajax inayoongoza kwa pointi zake 10, wakati Lille inaendelea kushika mkia na pointi yake moja 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA VALENCIA MESTALLA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top