Wachezaji wa Chelsea wakimpongeza mwenzao Christian Pulisic baada ya kufunga bao la pili dakika ya 50 kufuatia Mateo Kovacic kufunga kufunga la kwanza dakika ya 41 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Valencia kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Carlos Soler dakika ya 40 na Daniel Wass dakika ya 82 na matokeo hayo yanazifanya timu hizo zifungane kwa pointi, nane kila moja baada ya kucheza mechi tano zikiwa nyuma ya Ajax inayoongoza kwa pointi zake 10, wakati Lille inaendelea kushika mkia na pointi yake moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment