Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuwafungia mabingwa wa dunia, Ufaransa bao la pili dakika ya 31 kufuatia Corentin Tolisso kufunga la kwanza dakika ya nane katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Albania usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Arena Kombetare mjini Tirana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tom Brady Posts Training Video After Comments on Possibly Ending NFL
Retirement
-
After previously keeping the door open on a potential comeback, Tom Brady
is posting videos of himself training. In a four-second video on his
Instagram,…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment