• HABARI MPYA

    Monday, November 18, 2019

    GRIEZMANN AFUNGA LA PILI UFARANSA YAICHAPA ALBANIA 2-0

    Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuwafungia mabingwa wa dunia, Ufaransa bao la pili dakika ya 31 kufuatia Corentin Tolisso kufunga la kwanza dakika ya nane katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Albania usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Arena Kombetare mjini Tirana 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GRIEZMANN AFUNGA LA PILI UFARANSA YAICHAPA ALBANIA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top