• HABARI MPYA

    Monday, November 18, 2019

    'KAPTENI' BOCCO AANZA KUJIFUA KUKAMILIFU TAYARI MUREJEA TENA KAZINI SIMBA SC

    Nahodha wa Simba SC, John Raphael Bocco akifanya mazoezi na wenzake leo Uwanja wa Gymkhana mjini Dar es Salaam baada ya kupona kufuatia kuwa nje kwa miezi miwili sasa kwa sababu ya maumivu  
    Kocha wa mazoezi ya viungo wa Simba SC, Mtunisia, Adel Zrane akimpa mazoezi John Bocco
    John Bocco (kushoto) akijifua na wachezaji wenzake leo Uwanja wa Gymkhana 
    John Bocco (kushoto) akijifua na wachezaji wenzake leo Uwanja wa Gymkhana  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: 'KAPTENI' BOCCO AANZA KUJIFUA KUKAMILIFU TAYARI MUREJEA TENA KAZINI SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top