Mbrazil Roberto Firmino akishangilia na wachezaji wenzake, Waholanzi Georginio Wijnaldum na Virgil van Dijk baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 85 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Liverpool ilitangulia kwa bao la Sadio Mane dakika ya 49 kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Crystal Palace dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Matt LaFleur Explains Packers Kicking Late FG in 5-Point Loss to Buccaneers
-
Green Bay Packers head coach Matt LaFleur defended his decision to have his
team attempt a field goal rather than go for a touchdown and two-point
conversi...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment