Wachezaji wa Ubelgiji wakipongezana baada ya ushindi wa 6-1 dhidi ya Cyprus kwenye mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels. Mabao ya Ubelgiji yalifungwa na Christian Benteke dakika ya 16 na 67, Kevin De Bruyne dakika ya 35 na 41, Yannick Carrasco dakika ya 44 na Kypros Christoforou aliyejifunga dakika ya 51 baada ya Cyprus kutangulia kwa bao la Nicolas Ioannou dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta refuses to rule out a loan move for Real Madrid's Martin Odegaard
-
As reported by Sportsmail, Gunners technical director Edu began
negotiations last week for the 22-year-old, but Arsenal face stern
competition from Spanish...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment