Arturo Vidal (kushoto) akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 79 kufuatia kutokea benchi kuchukua nafasi ya Antoine Griezmann katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque. Youssef En-Nesyri alianza kuifungia Leganes dakika ya 12 kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barcelona dakika ya 53 akimalizia mpira wa adhabu wa Nahohda, Lionel Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment