Arturo Vidal (kushoto) akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 79 kufuatia kutokea benchi kuchukua nafasi ya Antoine Griezmann katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque. Youssef En-Nesyri alianza kuifungia Leganes dakika ya 12 kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barcelona dakika ya 53 akimalizia mpira wa adhabu wa Nahohda, Lionel Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton says he's been visited by police 'four times in three days'
over his tweets and hits out at 'an attempt to intimidate me and my
family'... as he compares the UK to North Korea
-
The ex-Man City footballer has come under fire this year for his vile
tweets about women working in men's football, infamously claiming female
pundits 'sho...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment