Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao matatu dakika za sita, 66 na 78 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Estonia usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Nathan Ake dakika ya 18 na Mryon Boadu dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment