• HABARI MPYA

    Wednesday, November 20, 2019

    BRAZIL YASHINDA MECHI YA KWANZA TANGU JULAI, YAIPIGA KOREA 3-0

    Beki wa zamani wa Manchester City, Danilo akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la tatu dakika ya 60 ikiilaza Jamhuri ya Korea 3-0 katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Mohammed Bin Zayed mjini Abu Dhabi. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Lucas Paqueta dakika ya tisa na Philippe Coutinho dakika ya 36, huo ukiwa ushindi wa kwanza kwao tangu Julai mwaka huu 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRAZIL YASHINDA MECHI YA KWANZA TANGU JULAI, YAIPIGA KOREA 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top