Beki wa zamani wa Manchester City, Danilo akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la tatu dakika ya 60 ikiilaza Jamhuri ya Korea 3-0 katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Mohammed Bin Zayed mjini Abu Dhabi. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Lucas Paqueta dakika ya tisa na Philippe Coutinho dakika ya 36, huo ukiwa ushindi wa kwanza kwao tangu Julai mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes gets emotional after a reporter praises his dedication to
Man United... as his tireless performance against Liverpool leads the Red
Devils to a triumphant 4-3 win in the FA Cup
-
Fernandes got visibly emotional when praised by a reporter for his
dedication to Man United after their dramatic 4-3 FA Cup quarter-final win
over Liverpool .
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment