Beki wa zamani wa Manchester City, Danilo akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la tatu dakika ya 60 ikiilaza Jamhuri ya Korea 3-0 katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Mohammed Bin Zayed mjini Abu Dhabi. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Lucas Paqueta dakika ya tisa na Philippe Coutinho dakika ya 36, huo ukiwa ushindi wa kwanza kwao tangu Julai mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Allen believes he's found the balance to keep on partying but stay
focused on his game as he looks to land his first-ever Snooker world title
-
Mark Allen believes he has found the right balance and there is still time
to party as he bids to win his first Snooker world title.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment