Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao pekee la ushindi dakika ya 45 na ushei ikiilaza 1-0 Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juve sasa wanaizidi pointi sita Atletico Madrid, ambayo italazimika kuminyana na Bayer Leverkusen kuwania kuingia hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2020/21 Ghana Premier League: AshantiGold defender Michael Enu adjudged man of the match against Medeama
-
AshantiGold SC defender Michael Enu won the man of the match award when
they shared the spoils with Medeama SC on Sunday in the Ghana Premier
League.The Mi...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment