• HABARI MPYA

    Wednesday, November 27, 2019

    DYBALA APIGA BAO PEKEE JUVENTUS YAICHAPA ATLETICO MADRID 1-0

    Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao pekee la ushindi dakika ya 45 na ushei ikiilaza 1-0 Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juve sasa wanaizidi pointi sita Atletico Madrid, ambayo italazimika kuminyana na Bayer Leverkusen kuwania kuingia hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DYBALA APIGA BAO PEKEE JUVENTUS YAICHAPA ATLETICO MADRID 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top