Jose Mourinho akipiga ngumi hewani kushangilia ushindi wa 4-2 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao ya Spurs yalifungwa na Dele Alli dakika ya 45, Harry Kane mawili dakika ya 50 na 77 na Serge Aurier dakika ya 73, baada ya Olympiacos kutangulia kwa mabao ya Youssef El-Arabi dakika ya sita na Ruben Semedo dakika ya 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Lampard 'set to be sacked by Chelsea TODAY'
-
Sunday's win over Luton Town to advance to the fifth round of the FA Cup
hasn't proved enough to save the former midfielder from the chop.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment