Lionel Messi akiifungia Argentina bao la kusawazisha kwa penalti dakika ya 90 na ushei katika sare ya 2-2 na Uruguay baada ya beki Jose Martin Caceres kuunawa mpira kwenye boksi usiku wa jana katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Bloomfield mjini Tel-Aviv. Uruguay ilitangulia kwa bao la Edinson Cavani dakika ya 34 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Argentina dakika ya 63 na Luis Suarez kufunga la pili dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta refuses to rule out a loan move for Real Madrid's Martin Odegaard
-
As reported by Sportsmail, Gunners technical director Edu began
negotiations last week for the 22-year-old, but Arsenal face stern
competition from Spanish...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment