• HABARI MPYA

    Sunday, November 24, 2019

    SHEFFIELD YAICHOMOLEA MAN UNITED DAKIKA YA MWISHO, SARE 3-3

    Oli McBurnie akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Sheffield United bao la kusawazisha dakika ya 90 katika sare ya 3-3 na Manchester United usiku wa leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Bramall Lane, Sheffield. Hiyo ni baada ya Sheffield United kutangulia kwa mabao ya John Fleck dakika ya 19 na Lys Mousset dakika ya 52, kabla ya Man United kusawazisha kwa mabao ya Brandon Williams dakika ya 72 na Mason Greenwood dakika ya 77 na Marcus Rashford kufunga la tatu dakika ya 79 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHEFFIELD YAICHOMOLEA MAN UNITED DAKIKA YA MWISHO, SARE 3-3 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top