Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la pili kwa penalti dakika ya 79 ikiilaza Moldova 2-1 katika mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Kiungo Vadim Rata alianza kuifungia Moldova dakika ya tisa kabla ya Raphael Varane kuisawazishia Ufaransa dakika ya 39 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 22 wakiendelea kuongoza Kundi H wakifuatiwa na Uturuki yenye pointi 20 baada ya wote kucheza mechi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton learn date of hearing for second breach of Premier League spending
rules as commission faces race against time to meet deadline... with the
Toffees resigned to ANOTHER points deduction
-
EXCLUSIVE BY MATT HUGHES: The Premier League have committed to announcing a
verdict on Everton's second charge of breaking Profit and Sustainability
Rules ...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment