Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la pili kwa penalti dakika ya 79 ikiilaza Moldova 2-1 katika mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Kiungo Vadim Rata alianza kuifungia Moldova dakika ya tisa kabla ya Raphael Varane kuisawazishia Ufaransa dakika ya 39 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 22 wakiendelea kuongoza Kundi H wakifuatiwa na Uturuki yenye pointi 20 baada ya wote kucheza mechi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why The Dolphins were forced to tape over controversial medical marijuana
sponsor logo - and how the plan came unstuck in humid Darwin conditions
-
The Dolphins have covered up their jersey sponsor, Alternaleaf, a clinic
that prescribes medical cannabis, following legal advice while the
Therapeutic Goo...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment