Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao manne dakika za 53 kwa penalti, 60, 64, 67 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Rajko Mitic mjini Belgrade, mabao mengine yakifungwa na Leon Goretzka dakika ya 14 na Corentin Tolisso dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dana White fears for future of UFC fights in the US with Joe Biden set to implement new protocols
-
New president Joe Biden wants take a tougher approach to battling
coronavirus and is considering measures such as a 14-day quarantine for
international tra...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment