Jonjo Shelvey akipiga shuti kuifungia bao la kusawazisha Newcastle United dakika ya 88 katika sare ya 2-2 na Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park. Bao la kwanza la Newcastle limefungwa na Jetro Willems dakika ya 25, wakati ya Manchester City yamefungwa na Raheem Sterling dakika ya 22 na Kevin De Bruyne dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment