Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao matatu dakika za 19, 47 na 60 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Ireland Kaskazini kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt am Main. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Leon Goretzka dakikaya 43 na 73 na Julian Brandt dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland Kaskazini lilifungwa na Michael Smith dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment