• HABARI MPYA

    Tuesday, February 12, 2019

    SIMBA ILIVYONDELEZA UBABE WAKE KWA WAARABU DAR

    Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere akiwatoka mabeki wa Al Ahly katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika jioni ya leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC imeshinda 1-0, bao pekee la Kagere dakika ya 65 na kuendeleza rekodi yake ya kuzifunga timu za Kaskazini mwa Afrika nyumbani   
    Meddie Kagere, Mnyarwanda mwenye asili ya Uganda akitafuta maarifa ya ya kuwatoka wachezaji wa Al Ahly 
    Mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi akitafuta mbinu za kumpita Karim Nedved wa Al Ahly 
    Emmanuel Okwi akijivuta kupiga shuti pembeni ya Ali Maaloul
    Kiungo Mzambia wa Simba, Clatous Chama (kushoto) akimpiga chenga Ramadan Sobhi wa Al Ahly
    Beki wa Simba Zana Coulibally kutoka Burkina Faso (kushoto) akijaribu kuzuia mpira unaopigwa na Ali Maaloul
    Clatous Chama akipambana katikati ya wachezaji wa Zamalek
    Mwenyekiti wa Bodi ya Ukurugenzi ya Simba, Mohammed 'Mo' Dewji akishangilia bao la Kagere leo
    Kikosi cha Simba SC kilichoanza kwenye mechi dhidi ya Al Ahly leo
    Kikosi cha Al Ahly kilichochapwa 1-0 na Simba leo Uwanja wa Taifa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA ILIVYONDELEZA UBABE WAKE KWA WAARABU DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top