• HABARI MPYA

    Saturday, June 02, 2018

    ENGLAND YAICHAPA 2-1 NIGERIA MECHI YA KIRAFIKI WEMBLEY

    Nyota wa England, Dele Alli mwenye asili ya Nigeria akimiliki mpira katika ya wachezaji wa nchi yake hiyo ya asili wakati wa mchezo wa kirafiki leo Uwanaj wa Wembley, London kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia. England imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gary Cahill dakika ya saba na Harry Kane dakika ya 39 wakati la NIgeria limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ENGLAND YAICHAPA 2-1 NIGERIA MECHI YA KIRAFIKI WEMBLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top