Nyota wa England, Dele Alli mwenye asili ya Nigeria akimiliki mpira katika ya wachezaji wa nchi yake hiyo ya asili wakati wa mchezo wa kirafiki leo Uwanaj wa Wembley, London kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia. England imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gary Cahill dakika ya saba na Harry Kane dakika ya 39 wakati la NIgeria limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mauricio Pochettino accuses his Chelsea players of 'giving up' in 5-0
London derby defeat at Arsenal as Blues boss blasts: 'When we have bad
days, we are so bad'
-
KIERAN GILL AT THE EMIRATES: This performance piled the pressure back on
Pochettino, who admitted they will never deserve European football if they
perform...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment