Mshambuliaji Luis Suarez (kushoto) akimuambia kitu mwenzake, Lionel Messi aliyeipa mgongo kamera wakati wa mazoezi ya Barcelona ikijiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Roma leo Uwanja wa Olimpico mjini Roma. Barca ilishinda 4-1 kwenye mechi ya kwanza wiki iliyopita Uwanja wa Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Howe hopes banned Tonali faces no more punishment
-
Eddie Howe hopes Newcastle midfielder Sandro Tonali avoids further
consequences for alleged breaches of the FA's betting rules.
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment