Winga wa zamani wa Newcastle United, Florian Thauvin akishangilia baada ya kuifungia Olympique Marseille bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Salzburg kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA ya Europa League leo Uwanja wa Stade Vélodrome mjin Marseille. Bao la pili la Marseille limefungwa na Clinton N'Jie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rockets Trade Rumors: Sterling Brown Expected to Draw Interest, per Execs
-
The Houston Rockets have reportedly already fielded calls about several of
their stars, but Sterling Brown is also expected to be among players who
will in...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment