Winga wa Simba SC, Shiza Kichuya (kulia) akiuchukua mpira kiufundi dhidi ya kiungo wa Yanga SC, Juma Mahadhi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akipasua katikati ya mabeki wa Yanga, Kelvin Yondan (kushoto) na Andrew Vincent 'Dante' (kulia)
Mawinga, Shiza Kichuya wa Simba SC (kushoto) na Yussuf Mhiulu wa Yanga (kulia) wakigombea mpira
Mfungaji wa bao pekee la Simba jana, Erasto Nyoni (katikati) akijivuta kupiga mpira dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa. Kushoto na refa msaidizi namba mbili, Mohammed Mkono wa Tanga
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib
Ibrahim Ajib wa Yanga akimtoka mshambuliaji Mghana wa Simba, Nicholaus Gyan anayetumika kama beki kwa sasa
Obrey Chirwa akimtoka Erasto Nyoni katika mchezo wa jana
Nahodha wa Simba, John Bocco akimtoka Ibrahim Ajib jana
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa jana
Soccer Aid 2024: Alex Scott returns as host while Bobby Brazier and Tommy
Fury lead the stars lacing up their boots and taking to the pitch for
annual charity match
-
Soccer Aid for UNICEF 2024 has announced it's celebrity players ahead of
the annual charity match on Sunday 9th June at Stamford Bridge.
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment