Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya Sevilla kwenye fainali Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid usiku wa Jumamosi. Mabao ya Barca wakitwaa taji la nne mfululizo la michuano hiyo yamefungwa na Luis Suarez mawili dakika za 14 na 40, Lionel Messi dakika ya 31, Andres Iniesta dakika ya 52 na Philippe Coutinho dakika ya 69 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment