Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya Sevilla kwenye fainali Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid usiku wa Jumamosi. Mabao ya Barca wakitwaa taji la nne mfululizo la michuano hiyo yamefungwa na Luis Suarez mawili dakika za 14 na 40, Lionel Messi dakika ya 31, Andres Iniesta dakika ya 52 na Philippe Coutinho dakika ya 69 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024: Taylor Swift approves of the Chiefs picking Xavier Worthy
as Travis Kelce's girlfriend likes a video of Kansas City's new star being
selected
-
The pop sensation - and Travis Kelce 's girlfriend - has become an avid
Chiefs fan in recent months thanks to her high-profile relationship with
the Super ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment