Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford ameonyesha jezi hii Real Madrid aliyopewa zawadi na Cristiano Ronaldo ambaye ameisaini na kuweka ujumbe; "Kwa Marcus, endelea kufanya kazi nzuri". Ronaldo ameendelea kuonyesha mapenzi yake kwa chipukizi hiyo, hii ikiwa zawadi ya pili anampa baada ya kiatu cha Nike Air Max 97 CR7 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment