Ander Herrera akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 62 ikiilaza 2-1 Tottenham Hotspur katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa Wembley, London. Spurs ilitangulia kwa bao la Dele Alli dakika ya 11, kabla ya Alexis Sanchez kuisawazishia Man United dakika ya 24. Timu hiyo ya kocha Mreno, Jose Mourinho itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya Chelsea na Southampton PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment