Ander Herrera akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 62 ikiilaza 2-1 Tottenham Hotspur katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa Wembley, London. Spurs ilitangulia kwa bao la Dele Alli dakika ya 11, kabla ya Alexis Sanchez kuisawazishia Man United dakika ya 24. Timu hiyo ya kocha Mreno, Jose Mourinho itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya Chelsea na Southampton PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bayern Munich 5-1 Cologne: Robert Lewandowski and Serge Gnabry hit braces at the Allianz Arena
-
Bundesliga top scorer Robert Lewandowski and Serge Gnabry both struck twice
as Bayern Munich crushed Cologne 5-1 in the Bundesliga on Saturday to earn
thei...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment