• HABARI MPYA

    Sunday, April 22, 2018

    KING KIBADENI MWENYE REKODI YA KIPEKEE MECHI ZA MAHASIMU WA JADI, SIMBA NA YANGA

    Mshambuliaji wa Simba SC, Abdallah Athumani Seif ‘King Kibaden’ akiwa na mpira wake enzi zake miaka ya 1970, kipindi ambacho aliweka rekodi ya kufunga mabao matatu katika mechi moja dhidi ya mahasimu wa jadi, Yanga SC kwenye ushindi wa 6-0  Julai 19, mwaka 1977 Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam. Kibadeni alifunga dakika za 10, 42 na 89 wakati mabao mengine yalifungwa na Jumanne Hassan 'Masimenti' dakika ya 60 na 73 na beki wa Yanga, Suleiman Sanga aliyejifunga dakika ya 20.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KING KIBADENI MWENYE REKODI YA KIPEKEE MECHI ZA MAHASIMU WA JADI, SIMBA NA YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top