Mshambuliaji Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 46 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton kwenye Nusu Fainali ya Kombe la FA jana Uwanja wa Wembley, London. Bao la pili lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 82 na sasa The Blues itakutana na Manchester United Mei 19 katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England score 14 tries in record win over Ireland
-
Watch highlights as England score 14 tries in a record win over Ireland to
remain on course for the Women's Six Nations Grand Slam.
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment