• HABARI MPYA

    Monday, April 23, 2018

    NI CHELSEA NA MAN UNITED FAINALI KOMBE LA FA ENGLAND

    Mshambuliaji Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 46 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton kwenye Nusu Fainali ya Kombe la FA jana Uwanja wa Wembley, London. Bao la pili lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 82 na sasa The Blues itakutana na Manchester United Mei 19 katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NI CHELSEA NA MAN UNITED FAINALI KOMBE LA FA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top