Mshambuliaji Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 46 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton kwenye Nusu Fainali ya Kombe la FA jana Uwanja wa Wembley, London. Bao la pili lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 82 na sasa The Blues itakutana na Manchester United Mei 19 katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-0 Leeds United: Hammers maintain top-four push
-
West Ham continue their unlikely push for a place in next season's
Champions League with a deserved victory over Leeds United at London
Stadium.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment