Mshambuliaji Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 46 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton kwenye Nusu Fainali ya Kombe la FA jana Uwanja wa Wembley, London. Bao la pili lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 82 na sasa The Blues itakutana na Manchester United Mei 19 katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mel Kiper 2024 NFL Mock Draft: McCarthy to Vikings, Nix to Broncos as 5 QBs
Go Top 12
-
Now that the first wave of free agency is in the books, ESPN's Mel Kiper
Jr. has released his third mock draft of the offseason. The top four picks
remain ...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment