Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu peke yake dakika za 38, 82 na 85 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa Manispaa ya Riazor. Bao la kwanza la Barca ambayo kwa ushindi huo inajihakikishia taji la 25 la La Liga lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya saba, wakati mabao ya Deportivo La Coruna yamefungwa na Lucas Perez dakika ya 40 na Emre Colak dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment