Marouane Fellaini akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 90 na ushei kufuatia kutokea benchi dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Jesse Lingard ikiilaza Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Old Trafford. Paul Pogba alianza kuifungia Man United dakika ya 16 kabla ya Henrikh Mkhitaryan kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford offers worrying update as he speaks out over 'months and
months of abuse' after being booed by Man United fans - as supporters pin
the blame on YouTuber's rants
-
Marcus Rashford (left) has endured a difficult season on the pitch, failing
to match the achievements of his 30-goal haul during the 2022-23 campaign,
scor...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment