Marouane Fellaini akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 90 na ushei kufuatia kutokea benchi dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Jesse Lingard ikiilaza Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Old Trafford. Paul Pogba alianza kuifungia Man United dakika ya 16 kabla ya Henrikh Mkhitaryan kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rockets Trade Rumors: Sterling Brown Expected to Draw Interest, per Execs
-
The Houston Rockets have reportedly already fielded calls about several of
their stars, but Sterling Brown is also expected to be among players who
will in...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment