Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kusawazisha dakika ya 82 katika sare ya 1-1 na Arsenal kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Arsenal ilitangulia kwa bao la mshambuliaji wake Mfaransa pia, Alexandre Lacazette dakika ya 61 huku Atletico ikicheza pungufu tangu dakika ya 10, kufuatia beki wake wa kulia, Sime Vrsaljko kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya njano na dakika moja baadaye, kocha Muargentina wa Atletico Madrid, Diego Simeone naye aklitolewa nje PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment