• HABARI MPYA

    Sunday, April 29, 2018

    MAMBO YALIVYO UWANJA WA TAIFA PAMBANO LA WATANI

    Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wao, Simba leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam 
    Kocha wa mazoezi ya utimamu wa mwili wa Simba, Mtunisia Aymed Mohamed Hbibi akiwapasha vijana wake  
    Wachezaji wa Simba wakipasha misuli moto kabla ya mchezo huo  
    Wachezaji na Simba na kocha wao, Aymen Mohamed Hbibi wakipasha
    Wachezaji wa Simba wakiendelea na mazoezi 
    Wachezaji wa Yanga nao wakipasha chini ya kocha wao wa mazoezi ya utimamu wa mwili, Mzambia Noel Mwandila 
    Hapa ni wakati Yanga wanaingia uwanjani kupasha, Mkongo Papy Kabamba Tshishimbi akiongoza wenzake
    Marefa wa mchezi huo Emmanuel Mwandembwa (katikati), Franko Komba (kulia) na Mohamed Mkono (kushoto) 
    Mashabiki wa Yanga wakitaniana na mahasimu wao, Simba
    Mashabiki wa Simba wakiwa wenye kujiamini mapema tu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAMBO YALIVYO UWANJA WA TAIFA PAMBANO LA WATANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top