• HABARI MPYA

    Sunday, April 29, 2018

    SIMBA SC WAWAFUNIKA YANGA NDANI NA NJE UWANJA WA TAIFA

    Mashabiki wa Simba wakitamba Uwanja wa Taifa dhidi ya mashabiki wa Yanga kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya mahasimu hao wa jadi katika mpira wa miguu nchini, unaotarajiwa kuanza Saa 10:00 jioni ya leo
    Mashabiki wa Yanga nao wakijibu wapinzani wao, japo hawajajitokeza kwa wingi uwanjani
    Mashabiki wa Simba wanakaribia kujaza eneo lao 
    Upande wa mashabiki wa Yanga mwitikio ni mdogo
    Mashabiki wa Yanga hawajajitokeza kwa wingi leo
    Eneo kubwa la mashabiki wa Yanga ni tupu
    Lakini mahasimu wao wamejitokeza kwa wingi
    Na hata nje ya Uwanja idadi ya mashabiki waliojitokeza ni zaidi ya wa Yanga 
    Rangi nyekundu ndizo zimetawala leo ndani na nje ya Uwanja wa Taifa 
    Mama huyu kamvisha mwnaawe ki-Simba Simba anawahi nafasi yake
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC WAWAFUNIKA YANGA NDANI NA NJE UWANJA WA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top