• HABARI MPYA

    Saturday, April 28, 2018

    SALAH AKOSA BAO LA WAZI, REFA 'AWANYIMA' LIVERPOOL BAO NA PENALTI...WATOA SARE 0-0 NA STOKE ANFIELD

    Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akifuua shuti jirani na lango la Stoke City lakini likaenda juu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Anfield timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Danny Ings pia alifunga bao ambao lilikataliwa akiambiwa alikuwa anezidi na Liverpool wakalalamikia kunyimwa penalti baada ya Erik Pieters kushika kwa mkono mpira wa krosi ya Georginio Wijnaldum PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SALAH AKOSA BAO LA WAZI, REFA 'AWANYIMA' LIVERPOOL BAO NA PENALTI...WATOA SARE 0-0 NA STOKE ANFIELD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top