Bondia Muingereza Amir Khan (kushoto) akimtazama mpinzani wake, Mcanada Phil Lo Greco aliyeanguka chini (kulia) na kushindwa kuendelea na pambano la uzito wa Super Welter sekunde ya 40 ukumbi wa Echo Arena Jijini Liverpool usiku wa Jumamosi, hiyo ikiwa mara ya pili baada ya awali kuanguka sekunde ya 18 na kuinuka kuendelea. Khan alikuwa anapigana tena baada ya kusimama kwa takriban miaka miwili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xabi Alonso will NOT succeed Jurgen Klopp at Liverpool with Anfield icon
set to stay at Bayer Leverkusen as Ruben Amorim emerges as new favourite
-
Alonso had been strongly mooted as a Jurgen Klopp successor since the
German announced he was to leave the club this summer.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment