Kipa wa Simba SC, Daniel Panju akiwa ameanguka chini baada ya Ally Yussuf Tigana (hauopo pichani) kuifungia Yanga bao la pili dakika ya 80 katika ushindi wa 2-1 kwenye mechi ya Ngao Ya Jamii Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam Februari 17, mwaka 2001. Bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Edibilly Lunyamila dakika ya 47, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Steven Mapunda 'Garrincha' kuanza kuifungia Simba dakika ya 43
Bukayo Saka launches his own Nando's sauce! Arsenal's star man brings out
the 'PERi-PERi Saka Sauce' with his favourite flavours as he gears up for
England international duty
-
The Arsenal star has teamed up with the restaurant chain to produce the
'PERi-PERi Saka Sauce' with his most-loved flavours.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment