Kipa wa Simba SC, Daniel Panju akiwa ameanguka chini baada ya Ally Yussuf Tigana (hauopo pichani) kuifungia Yanga bao la pili dakika ya 80 katika ushindi wa 2-1 kwenye mechi ya Ngao Ya Jamii Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam Februari 17, mwaka 2001. Bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Edibilly Lunyamila dakika ya 47, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Steven Mapunda 'Garrincha' kuanza kuifungia Simba dakika ya 43
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment