Wachezaji wa Simba SC, John Bocco (kulia) na Shomary Kapombe (kushoto) wakiwaacha chini wachezaji wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Nahodha wa Simba, John Bocco (kushoto) akiwa ameruka juu na wachezaji wa Mbeya City
Mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi akigombea mpira na beki wa Mbeya City, Haruna Shamte
Beki wa Simba, Shomary Kapombe (kushoto) akimtoka Babu Ally Seif wa Mbeya City
Winga wa Simba, Shiza Kichuya (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Mbeya City, Mohammed Samatta (katikati) na Haruna Shamte (kulia)
Beki Mghana wa Simba, Asante Kwasi (kulia) akitafuta mbinu za kumpita Majaliwa Shaaban wa Mbeya City
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimtoka mshambuliaji Frank Ikobela wa Mbeya City
Anayepigwa kichwa cha mkizi kushoto ni mshambuliaji John Bocco huku kipa wa Mbeya City, Owen Chaima akiokoa kulia na katikati ni Asante Kwasi
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Mbeya City kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Sadio Mane MISSES a penalty for Al-Nassr with regular taker Cristiano
Ronaldo suspended... but the former Liverpool star recovers to net a brace
in the 3-1 win over Al Feiha
-
With a fightback win, and qualification for next season's AFC Champions
League secured, Ronaldo shared his congratulations to his teammates in a
post on so...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment