Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid kwa penalti dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida ikifungwa 3-1 na Juventus ya Italia katika mchezo wa marudiano Robo Fainali ya Ligi Mabingwa leo uliofanyika Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Mabao ya Juve iliyompoteza kipa wake, Gianluigi Buffon aliyetolewa kwa kladi nyekundu dakika ya 90+3 yalifungwa na Mario Mandzukic mawili dakika za pili na 37 na Blaise Matuidi dakika ya 60 na sasa Real Madrid inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita mjini Turin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea activate break clause to RECALL £15m star from Borussia Dortmund
loan - and mark sale of one of their players as 'impossible'
-
The Blues are bringing the former Boca Juniors centre back, who only has
one appearance for the club as a substitute in last summer's Club World
Cup, back ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment