Mshambuliaji Robert Lewandowski wa Bayern Munich akimtoka Gabriel Mercado wa Sevilla anayejaribu kucheza rafu katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Bayern Munich wanaungana na Liverpool, Real Madrid na Roma kwenda Nusu Fainali baada ya ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Hispania dhidi ya Sevilla ambayo jana ilimaliza pungufu baada ya Joaquin Correa kutolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Javi Martinez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's 'mental strength' called into question by Patrick Vieira - as he
calls out two top stars who 'didn't produce enough' against Man United
-
The home loss saw Mikel Arteta's side's lead at the top of the Premier
League and closest challengers Manchester City and Aston Villa to only four
points f...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment