Mshambuliaji Robert Lewandowski wa Bayern Munich akimtoka Gabriel Mercado wa Sevilla anayejaribu kucheza rafu katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Bayern Munich wanaungana na Liverpool, Real Madrid na Roma kwenda Nusu Fainali baada ya ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Hispania dhidi ya Sevilla ambayo jana ilimaliza pungufu baada ya Joaquin Correa kutolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Javi Martinez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool have 'set their sights on the new Mohamed Salah'... with the
Egyptian's future uncertain amid interest from Saudi Arabia
-
There remains uncertainty over Salah's future at Anfield, with the winger
having one year left on his contract and talks over an extension yet to
take place.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment