Mshambuliaji Lionel Messi akipongezwa na wachezaji wenzake, Philippe Coutinho na Ousmane Dembele katika mchezo wa La Liga dhidi ya Leganes jana ambao alifunga mabao yote matatu dakika za 27, 32 na 87 katika ushindi wa 3-1 Uwanja wa Camp Nou, hiyo ikiwa hat trick yake ya 40 katika Ligi Kuu ya Hispania. Bao la Leganes lilifungwa na Nabil El Zhar dakIka ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool fans are left baffled by 'silly' talks to sell club legend Andy
Robertson to Tottenham, fearing leadership void as they take aim at squad
planning
-
Arne Slot's side have received an approach from Spurs about getting a deal
done this window, after Thomas Frank lost defender Ben Davies to a broken
ankle ...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment