• HABARI MPYA

    Sunday, April 01, 2018

    CUADRADO, DYBALA WAFUNGA JUVENTUS YAIPIGA 3-1 AC MILAN

    Juan Cuadrado akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya  AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Paulo Dybala dakika ya nane na Sami Khedira dakika ya 87 wakati la Milan limefungwa na Leonardo Bonucci dakika ya 28 katika mchezo wa Serie A, Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CUADRADO, DYBALA WAFUNGA JUVENTUS YAIPIGA 3-1 AC MILAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top