• HABARI MPYA

    Monday, January 22, 2018

    SUAREZ NA MESSI KILA MMOJA AFUNGA MAWILI BARCA YASHINDA 5-0

    Luis Suarez (kushoto) na Lionel Messi (kulia) wakifurahi baada ya wote kufunga mabao manne katika ushindi wa 5-0 wa Barcelona wa 5-0 dhidi ya Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla kwenye mchezo wa La Liga. Messi alifunga dakika za 64 na 80 na Suarez dakika za 69 na 89 baada ya Ivan Rakitic kufunga la kwanza dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUAREZ NA MESSI KILA MMOJA AFUNGA MAWILI BARCA YASHINDA 5-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top