Mjumbe wa Kamati ya Utandaji ya Simba, Muslah El Ruwaih (kushoto) akishuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yake na Maji Maji ya Songea leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Mohammed Nassor (kulia) akishuhudia timu yake leo
Wapenzi maarufu wa Simba wakishuhudia kwa utulivu burudani ya leo
Mwigizaji nyota Jacob Steven (kushoto) na mwandishi wa Habari, Somoe Ng'itu (kulia) wakifuatilia mchezo wa leo
U18s preview | Norwich City v Arsenal
-
Everything you need to know as our young Gunners make the trip to East
Anglia to face Norwich City
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment