Kelechi Iheanacho akishangilia na mchezaji mwenzake, Demarai Gray baada ya kufunga mabao mawili dakika za 12 na 29 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, Peterborough kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA leo Uwanja wa ABAX mjini Peterborough. Mabao mengine ya Leicester City yamefungwa na Fousseni Diabate mawili pia dakika za tisa na 87 na Wilfred Ndidi dakika ya 90 na ushei na Peterborough limefungwa la Andrew Hughes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xavier Worthy NFL Draft 2024: Scouting Report for Kansas City Chiefs WR
-
HEIGHT: 5'11" WEIGHT: 165 HAND: 8¾" ARM: 31⅛" WINGSPAN: 74¼" 40-YARD DASH:
4.21 3-CONE: N/A SHUTTLE: N/A VERTICAL: 41" BROAD: 10'11" POSITIVES — Great
speed.…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment