Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling (katikati) akinyoosha vidole juu kushangili baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Cardiff City leo Uwanja wa Cardiff City katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England. Bao la kwanza lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya nane huku, Cardiff ikimpoteza mchezaji wake, Joe Bennett aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mel Kiper 2024 NFL Mock Draft: McCarthy to Vikings, Nix to Broncos as 5 QBs
Go Top 12
-
Now that the first wave of free agency is in the books, ESPN's Mel Kiper
Jr. has released his third mock draft of the offseason. The top four picks
remain ...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment